Swahili
Kifuatia ongezeko la visa vya uayvaji mimba vinavyoripotiwa kila mwaka nchini Kenya, kwa asilimia ishirini (20%), (mwaka wa elfu mbili ishirini na moja 29%, mwaka wa elfu mbili ishirini na mbili 49%), wazazi wameombwa kuwashauri wanao kujilinda kutokana na mimba za mapema. Kulingana na ripoti ya Shirika la Afya Diniani (WHO), wasichana na wanawake wengi […]
-
Pages