Latest Updates

Page: 37

A group of world-leading scientists have warned Fifa its current heat safety measures for the men’s 2026 World Cup are “inadequate” and could put players at risk of serious harm. In an open letter, external, international experts in health, climate and sports performance say the governing body’s guidelines are out of step with the current […]

A Tom Mboya University student has been blasted for publicly criticizing a colleague’s death. Phabian Hayo posted pictures of Peris , a second year student at the same institution, with a caption appealing to the administration not to release the University’s bus to ferry comrades to Peris’ funeral. His sentiments drew criticism and outrage from […]

Kenya is widely known around the world for its sporting excellence. From athletics to football and rugby, Kenya has produced talented sports personalities who have inspired millions and raised the country’s flag high on the international stage. Athletics remains the most successful sport in Kenya. Kenyan athletes have dominated long-distance races for years, winning medals […]

Mamlaka ya Afya ya Jamii (SHA) imetangaza kifurushi kipya cha huduma za afya cha mwaka 2026 kitakachowanufaisha zaidi wagonjwa wa saratani na kina mama wajawazito kufuatia agizo la Rais William Ruto. Katika maboresho hayo, fedha za matibabu ya saratani zimeongezwa kutoka Sh550,000 hadi Sh800,000 kwa mwaka kwa kila familia ili kusaidia wagonjwa kupata huduma za […]

Kwa mashabiki wengi wa soka duniani, jina la José Mourinho haliwezi kutenganishwa na historia ya Real Madrid. Ingawa alikaa Madrid kwa miaka mitatu pekee kati ya 2010 na 2013, bado anaonekana kama mmoja wa makocha walioacha alama kubwa ndani ya klabu hiyo. Mourinho aliwasili Santiago Bernabéu akiwa na hadhi kubwa baada ya kushinda UEFA Champions […]

What a day! A major political storm is brewing inside the Orange Democratic Movement as they battle for the party’s soul heads to a dramatic, multi-county showdown this weekend. What started as quiet boardroom friction has exploded into an open rebellion. Two rival factions have split down the middle. They are now organizing competing mass […]

Wakazi wa eneo la Bukoma katika Budalang’i, kaunti ya Busia County wamegubikwa na huzuni na simanzi kufuatia tukio la kusikitisha ambapo watu wanne wa familia moja waliripotiwa kupoteza maisha yao baada ya kudaiwa kula chakula chenye sumu. Kwa mujibu wa taarifa za awali kutoka kwa maafisa wa polisi, familia hiyo ilianza kuonyesha dalili za kuumwa […]

Katika vilima vya kijani vya Kenya, palikuwa na kijana mmoja aliyeitwa Isaya Kiriago. Isaya hakuwa mwanariadha wa kawaida; alikuwa “mwana-milima” (mountain runner) ambaye miguu yake ilionekana kuwa na mbawa kila alipokanyaga ardhi yenye mwinuko. Baada ya kufanya vizuri katika mashindano ya vyuo vikuu nchini Kenya (KUSF), ambapo alishinda mbio za mita 10,000 na 3,000, Isaya […]

Let’s be honest your playlist is getting repetitive, and the silence in the car is getting a little too loud. If you’ve been looking for a sign to turn that dial back to 102.0 FM, this is it. At Radio Vuna, we don’t just play music; we build the soundtrack to your life. From the […]

Katika mji mtulivu wa bondo, giza nene lilitanda kufuatia tukio la kuhuzunisha lililokatiza ndoto za mwanafunzi mchanga wa chuo kikuu cha Jaramogi Oginga odinga cha Sayansi na Teknologia . Binti huyu aliyekua na matumaini yake kesho iliyo bora, alipatikana ameuawa kinyama ndani ya nyumba yake ya kukodisha nje ya chuo hicho. Habari hizi zilisambaa kama […]


Current track

Title

Artist

Background