Radio Vuna 102.0 FM
Bei ya nyanya imeendelea kupanda kwa kasi katika masoko mbalimbali ya Kaunti ya Kisii, hali iliyogeuza bidhaa hiyo muhimu kuwa kama “dhahabu nyekundu” kutokana na thamani yake kubwa kwa sasa. Kupanda kwa bei kumewanufaisha wakulima waliokuwa wamejiandaa mapema, huku wananchi wengi wakilalamikia gharama kubwa za maisha na kupungua kwa uwezo wa kumudu bidhaa za kila […]
Mamlaka ya Afya ya Jamii (SHA) imetangaza kifurushi kipya cha huduma za afya cha mwaka 2026 kitakachowanufaisha zaidi wagonjwa wa saratani na kina mama wajawazito kufuatia agizo la Rais William Ruto. Katika maboresho hayo, fedha za matibabu ya saratani zimeongezwa kutoka Sh550,000 hadi Sh800,000 kwa mwaka kwa kila familia ili kusaidia wagonjwa kupata huduma za […]
Kisii Residents were left to awe on 19/04/2023 when Kiong’anyo Hill illumined with light while the rest of the county was in deep darkness The hill which is located in Nyaribari Chache provided a spectacular view for almost ten minutes from about 6:50PM. Local residents attributed the occurrence to supernatural powers, many calling people to […]
Interior CS Kithure Kindiki led the list with a 27 per cent score, followed by his Education counterpart Ezekiel Machogu (12%) and Ababu Namwamba of Sports (8%). Mining, Blue Economy and Maritime Affairs Cabinet Secretary Salim Mvurya and his Labour and Social Protection counterpart Florence Bore have been ranked the worst performing CSs by Kenyans, […]
Business men and women from Keroka market which lies on the border of Kisii and Nyamira Counties are complaining to the said County governments for failure to clean garbage in the market. There is lack of enough toilets in the market and increased volume of garbage which has led to poor health conditions and contamination […]
-
Pages