Featured
Page: 27
Historia ya ukiukaji wa usalama wa Marais nchini Kenya inaonyesha mabadiliko makubwa kutoka kwa mapinduzi ya kisiasa hadi raia wanaovamia majukwaa kuomba usaidizi, na sio kwamba mchezo huu ulianza juzi bali ulianza kuanzia kwa Rais wa kwanza nchini Kenya Rais Jomo Kenyatta. Mnamo Oktoba 25, 1969 wakati wa ghasia zilizoshuhudiwa katika kaunti ya Kisumu, mawe […]
Uvunjaji wa Usalama wa Rais Ruto Kilifi Wazua Mjadala Usalama wa Rais William Ruto umerudi tena kwenye mjadala baada ya mwanamume kupanda jukwaani na kumkaribia Rais wakati wa hafla ya shukrani huko Ganze, Kilifi, tarehe 24 Mei 2026. Rais alikuwa akizungumza alipomshtukia mwanamume aliyebeba Biblia kupanda jukwaani na kumwekea mkono begani. Askari walimtoa haraka, lakini […]
Harry Kane has officially been crowned the winner of the European Golden Boot after scoring an impressive 36 league goals for FC Bayern Munich during the 2025/26 season. The award is given to Europe’s top league scorer, and Kane fully deserved it after another brilliant campaign in Germany. Since arriving at Bayern Munich, the England […]
Mashabiki wa soka duniani kote wanaendelea kuhesabu siku huku zikibakia siku 18 pekee kabla ya kuanza kwa fainali za FIFA World Cup, mashindano makubwa zaidi katika ulimwengu wa kandanda. Mataifa mbalimbali yanaendelea na maandalizi ya mwisho huku wachezaji, makocha, na mashabiki wakisubiri kwa hamu kubwa kuanza kwa tamasha hilo la kihistoria. Kombe la Dunia huwakutanisha […]
Kenya’s sprint king Ferdinand Omanyala once again proved why he remains one of Africa’s fastest men after delivering a stunning performance at the Xiamen Diamond League in China. The celebrated athlete crossed the finish line with confidence and pride, sending Kenyan fans into celebration as he continued to fly the country’s flag high on the […]
Kaunti ya Kilifi jana iligeuka kuwa kitovu cha mjadala nchini baada ya tukio lisilotarajiwa kutokea wakati wa hafla iliyohudhuriwa na Rais wa Kenya, William Ruto. Katika tukio hilo, kijana mmoja alifanikiwa kuvuka ulinzi na kumkumbatia Rais kwa muda mfupi kabla ya maafisa wa usalama kuingilia kati. Hafla hiyo iliyofanyika Ganze, Kilifi, ilikuwa imekusanya viongozi, wakazi […]
A dark cloud has covered Kenya’s sports media industry following the heartbreaking news of the death of veteran sports commentator Diblo “El Mago” Kaberia. The celebrated commentator, whose voice became familiar to thousands of football lovers across the country, passed away leaving behind a legacy that many describe as unforgettable. His death has shocked fans, […]
[3:43 PM, 5/21/2026] +254 797 083291: Wakazi wa maeneo mbalimbali katika Kaunti ya Bungoma wameingiwa na hofu kubwa kufuatia kuongezeka kwa maji taka yanayomwagika ovyo karibu na makazi yao. Hali hiyo imezua wasiwasi kuhusu uwezekano wa kuzuka kwa magonjwa hatari kama vile kipindupindu, homa ya matumbo na kuhara, hasa wakati huu wa mvua kubwa zinazoendelea […]
The Roots Party leader George Wajackoyah has revealed that Cotu secretary general Francis Atwoli is his uncle, saying anyone attacking the veteran trade unionist is also attacking him. Speaking during a live interview on Citizen TV on Sunday night, Wajackoyah described Atwoli as a close relative and credited the Cotu secretary general for his resilience […]
Shule ya Upili ya Wavulana ya Ingotse imefungwa kwa muda usiojulikana baada ya maandamano makali ya wanafunzi kutokea usiku wa Mei 20, jambo lililosababisha uharibifu wa mali na kulemaza shughuli za masomo katika taasisi hiyo. Ghasia hizo, ambazo zinaripotiwa kuanza usiku wa manane, ziliwaona wanafunzi wakizua fujo ndani ya uwanja wa shule, wakiharibu vifaa muhimu […]